Pageviews all the time

Rwanda. Amerika yongeye guha gasopo Kagame / Mtanzania

Ikinyamakuru MTANZANIA
Ikinyamakuru gikomeye cyo  muri Tanzania cyitwa MTANZNIA, uyu munsi  kuri 19/1/2014, cyasohoye inkuru ndende yerekeranye na gasopo Leta Zunze ubumwe za Amerika ziherutse guha Kagame nyuma yo kwigamba ko ariwe wishe Nyakwigendera Koloneli Patirike Karegeya amutsinze muri Afurika y'Epfo, ndetse akanigamba ko ubwicanyi bwe amazemo iminsi atsembera mu mahanga abamuhunze agiye kubusoza ashyiramo ingufu ngo arangize abasigaye.


Ku ifoto iki kinyamakuru cyasohoye ijyanye n'iyi nkuru tuvuze hejuru, hariho Kagame yambaye ka kagofero yambaraga akiri   inyeshyamba n'amafoto y'abo amaze kwirenza  kuva muri 1994 kugeza 2014 bari bakomeye mu gihugu barimo ba  Nyakwigendera Kinani, Lizinde, Karegeya, n'abandi.

Iki kinyamakuru kandi nticyahagarariye aho kuko no ku rubuga rwacyo cyashizeho inshamake y'ibyo cyanditse byerekeranye n'iyi gasopo yahawe umwicanyi Kagame. Iki kinyamakuru kiremeza ko umuvugizi wa USA Jen Psaki, ijambo rye ryo kwihaniza Kagame mu bwicanyi bwe ryahise risamirwa hejuru n'ibitangazamakuru byo hirya no hino ku isi utaretse n'imbuga nkoranyambaga nka YAHOO na MSN.

Iki kinyamakuru cyagarutse ku kintu gihangayikishije amerika cyane maze gishyiraho amagambo ya Jen Psaki
" Duhangayikishijwe n'ubwicanyi bumaze iminsi bukorerwa abanyepolitike bakomeye mu Rwanda." 

Uyu muvugizi ngo akaba yarahisemo guha umwicanyi Kagame gasopo ku mugaragaro kuva aho amariye kuvuga ko agiye gutsemba n'abasigaye mu gihe yari muri ya ngirwa masengesho basabagamo shitani imigisha. Kagame ubwe ngo akaba yaravuze ko agiye guhangana n'abo yita we abanzi b'igihugu ngo kuko ngo abaturage bamutoye aricyo bamutoreye.

Iki kinyamakuru cyagarutse ku mibanire itagira amakemwa yabayeho hagati ya Kagame na Karegeya ndetse na Nyamwasa wari uri kumwe na Karegeya muri Afrika y'Epfo aho bahungiye Kagame. Ariko ngo aba bagabo uko ari 2 baje ngushwana na Kagame maze bavamo abanzi be kabuhariwe.

Ikindi kintu gikomeye iki kinyamakuru cyakomojeho ndetse navuga ko aricyo cy'ingenzi, ni urutonde rw'abantu bakomeye bagiye bicwa  na Kagame n'aho bagiye bicirwa. Abo ni:John Sengati, wiciwe mu Rwanda, Koloneli Theoneste Lizinde n'uwahoze ari minisitri mu  Rwanda, Seth Sendashonga biciwe muri Kenya.  


Koloneli  Shabani Rutayisire, Gratien Munyarubuga, Dr. Assiel Kabera na Andre Kagwa Rwisereka biciwe mu Rwanda. Hari kandi na Regina Uwamaliya na Juvenal Uwilingiyimana nabo biciwe mu Bubiligi, naho  Charles Ingabire akicirwa i Kampala na Pasteur Musabe akicirwa muri  Cameroon.

Ngayo nguko 

Twarangiza iyi nkuru dushimira abantu bari mu Rwanda bakomeje kutugezaho amakuru y'ibiriho bihabera, mu gihe abari hanze y'U Rwanda bo  bakomeje kwigira ba Ntibindeba!! Kuki aho muri mutatwandikira mu rurimi mushoboye ngo dukomeze duhumurize abavandimwe bacu bugarijwe n'amakuba bashyizwemo n'ingoma y'agatsiko ya Kagame?Nizere ko utazi ikinyarwanda azi igifransa, icyongereza, cyangwa iKiswahili; izi ndimi zose zirakora kuri SHIKAMA, ndetse n'ushoboye kwandika mu cyarabu yabikora tukabisemura mu kinyarwanda mbere yo kubishyira ku rubuga. Ndabamenyesha ko hari umuntu uherutse kwandika inkuru ku ihunga rya bashiki ba Rujugiro, ni ubwa mbere yari yanditse nkuko bigaragara, ariko nishimiye kubabwira ko niyo nkuru yasomwe n'abantu benshi kugeza na n'ubu bakiyisoma kurusha izo twe twandika!! Witinya rero kora nk'uyu mwene data, kandi ndamusaba gukomeza nawe uyu muganda yiyemeje gutanga wo kubohora igihugu.


Ndabategereje mu ndimi zanyu zinyuranye, ntimugasaze! 

Nkusi Yozefu
shikama ye
-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Soma inkuru irambuye mu Kiswahili hasi aha:

http://www.mtanzania.co.tz/images/stories/obama.jpg
Rais Barrack Obama wa Marekani
WAKATI utata ukiwa umegubika juu ya kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Usalama wa Rwanda, Kanali Patrick Karegeya, taarifa kutoka Ikulu ya Marekani zinaitaja nchi hiyo kuhusika moja kwa moja na kifo hicho. Msemaji wa Ikulu ya Marekani, Jen Psaki, amenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari, ukiwamo mtandao wa Yahoo pamoja na BSN, akisema kuwa Rwanda imehusika na kifo cha Karegeya.

Katika maelezo yake hayo, Psaki alisema kwamba kwa mujibu wa onyo alilolitoa Rais Paul Kagame hivi karibuni, kwenye ibada ya kuliombea taifa hilo, inadhihirisha undani wa kifo cha Karegeya.

“Tuna wasiwasi na mfululizo wa mauaji ya wanasiasa maarufu nchini Rwanda,” alisema Psaki.

Kauli hiyo imekuja wakati tayari kumekuwapo na shutuma nyingi zinazomhusisha Rais Kagame na tukio la kifo cha Karegeya, kutokana na uhasama wa muda mrefu uliokuwepo baina yao.

Katika miaka ya hivi karibuni, uhusiano wa Rwanda na Marekani umekuwa ni wa mashaka, baada ya Rais Paul Kagame kuhusishwa na matukio mbalimbali ya kihalifu, yakiwamo mauaji ya wanasiasa wa upinzani pamoja na uchochezi wa vita katika eneo la Mashariki mwa Kongo.

Licha ya kukana kufadhili waasi wa M23, mwaka jana Rais Barack Obama alimuonya Kagame kuacha mara moja kuchochea mapigano Mashariki mwa Kongo.

Katika hotuba yake aliyoitoa hivi karibuni katika ibada ya kuliombea taifa hilo, Rais Kagame alitoa onyo kali kwa watu wanaoisaliti nchi hiyo kwamba watakabiliwa na wakati mgumu popote watakapokuwa.

Rais Kagame aliwataka Wanyarwanda wote kuungana katika kusimamia misingi sahihi na msimamo wao kama taifa, bila kujali tetesi zinazotoka katika mataifa ya nje kuhusu wale waliotangaza kuisaliti Serikali yake.

Hata hivyo, hakutaja moja kwa moja kuhusu tuhuma zinazoikabili Serikali yake juu ya mauaji ya aliyewahi kuwa Mkuu wake wa Ujasusi, Karegeya, ambaye ameuawa Januari Mosi, mwaka huu.

Kutokana na hali hiyo, kiongozi huyo wa Rwanda, alitoa onyo kali kwa kusema kuwa wale wote wanaoigeuka nchi yao na kuchagua kuua raia wasio na hatia kwa sababu zao binafsi, wanastahili kushughulikiwa ipasavyo.

Akisisitiza maelezo hayo, Kagame alisema hatakuwa na huruma na watu ambao wanasahau namna Rwanda ilivyowatengeneza hadi kufika mahali walipo.

Rais Kagame, aliwataka viongozi wa Rwanda kutosumbuliwa kwa yanayowakuta ‘maadui wa taifa’, kwa kuwa Mungu aliwapa nguvu ya kujenga na kukilinda kile walichokijenga, hivyo wale wanaosahau kwamba wana dhamana kwa Wanyarwanda na kuamua kutenda mambo mabaya dhidi ya taifa lao, ni wazi kwamba wamesahau kuwa hawataweza kuwa juu ya watu wao.

Mliponiapisha kuwa kiongozi wenu mliniagiza kwamba wakati wote niilinde nchi hii, kwa maana ya kusimama kwa ajili ya watu wake,” alisema.

Hotuba hiyo iliibua mjadala mkubwa miongoni mwa watu ambapo wengi wao waliitafsiri kama ni ujumbe wa kilicho nyuma ya utata wa kifo cha Karegeya.

Kanali Patrick Karegeya (53), ambaye alikuwa akiishi uhamishoni nchini Afrika Kusini kwa miaka kadhaa, baada ya kutofautiana na mkuu wake wa zamani, Rais Kagame, aliuawa na watu wasiojulikana ambapo mwili wake ulikutwa katika Hoteli ya Michelangelo Towers, nchini Afrika Kusini.

Ikumbukwe kuwa Kanali Karegeya aliongoza Idara ya Usalama ya Rwanda kwa muda mrefu na alikuwa ni mtu aliyeaminiwa kwa kiasi kikubwa na Rais Kagame.

Hata hivyo, kiongozi huyo alijikuta akiingia katika uadui mkubwa hata kudaiwa kuwa Ofisa Usalama huyo alikuwa akiandaa mikakati ya kumpindua Rais Kagame.

Uadui huo haukuishia kwa Karegeya pekee, bali hata aliyekuwa Mkuu wa zamani wa Jeshi la nchi hiyo, Faustin Kayumba Nyamwasa na washirika wake, walikumbwa na hali hiyo, hivyo kuwalazimu kuikimbia nchi yao.

Serikali ya Rwanda imekuwa ikilaumiwa kwa kuwaua baadhi ya wanasiasa mashuhuri nchini humo, kama John Sengati, aliyeuawa nchini Rwanda, Kanali Theoneste Lizinde na Waziri wa zamani wa Rwanda, Seth Sendashonga waliouawa nchini Kenya.

Wengine ni Kanali Shabani Rutayisire, Gratien Munyarubuga, Dk. Assiel Kabera na Andre Kagwa Rwisereka ambao waliuawa nchini Rwanda.

Pia Regina Uwamaliya na Juvenal Uwilingiyimana nao waliuawa nchini Ubeligiji, huku Charles Ingabire akiuawa mjini Kampala na Pasteur Musabe aliyeuawa Cameroon.

Mpaka sasa kumekuwa na taarifa tofauti kuhusu kukamatwa kwa watu wanaoshukiwa kuhusika na kifo hicho, huku baadhi ya vyanzo vikimtaja mmoja wa wafanyabiashara wakubwa wa Rwanda, Apollo Gafaranga, ambaye alidaiwa kujenga urafiki wa karibu na marehemu Karegeya.

Oktoba mwaka jana, aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Paul Kagame, Luteni Joel Mutabazi, alitekwa na kikosi cha Jeshi la Uganda na kukabidhiwa kwa Serikali ya Rwanda.

Luteni Mutabazi alikimbilia nchini Uganda Oktoba 2011, baada ya kufanikiwa kutoroka jela yenye ulinzi mkali wa kijeshi, iliyo katika mji wa Kami, nje kidogo ya mji wa Kigali, akituhumiwa kwa kuhusishwa na kutoroka kwa mkuu huyo wa majeshi na kukimbilia Afrika Kusini.

Mlinzi huyo pia anashutumiwa na Serikali ya Rwanda kwa kutoa siri kwa Kikosi Maalumu cha Umoja wa Mataifa chini ya Majeshi ya Umoja wa Kulinda Amani nchini Kongo, (MONUSCO) na kuwezesha kuchakazwa na kushindwa kwa kikosi cha waasi wa M23.
Maoni   

No comments:

Post a Comment

Muvandimwe, nshuti ya SHIKAMA, turagushimira cyane umuganda utanga wo kubaka URWANDA rushya ubinyujije mu bitekerezo byawe( Komanteri). Kugirango turwanye urukungu rw'Agatsiko ni ngombwa ko buri komanteri ibanza gusuzumwa. Yohereze, irahita ijya ku rubuga mu minota mike niba idatandukira( kuvuga ibitajyanye n'inyandiko), itukana, cyangwa yuzuyemo uburere buke.

Wipfusha komanteri yawe ubusa ukoresha "ANONYMOUS", himba izina urikomeze kuko hari ibihembo mu Kuboza 2016 ku bantu 3 bazaba babaye indashyikirwa mu gutanga ibitekerezo. Dukomeje kubashimira ubwitange n'umurava muhorana. IMANA Y'I RWANDA ihorane namwe iminsi yose.

Dg NKUSI Yozefu
www.shikamaye.blogspot.com
Uharanire ko Ukuri gusimbura ikinyoma.
Email: mahoriwacu@gmail.com; tel: +4745564355